Tanzania Yatangaza Sera ya Kwanza ya Akili Bandia (AI) Barani Afrika
Serikali ya Tanzania imetangaza sera ya kitaifa ya Akili Bandia (AI), ikifanya Tanzania kuwa mojawapo ya nchi za kwanza za Afrika kuwa na mwongozo rasmi wa matumizi ya teknolojia hii.
Na Jubita Desk | 17 Jun, 2026