Nyumba ya Kuuza - Arusha Mjini - Vyumba 4 - Modern
Tsh 175,000,000
Arusha Mjini
Nyumba na Ardhi
21 views
3 weeks ago
Maelezo
<p>Nyumba ya kisasa ya kuuza Arusha Mjini, karibu na barabara kuu ya Nairobi. Ina vyumba 4 vya kulala, sebule 2, jiko la kisasa na pantry, choo 3, na bustani nzuri. Ina maji ya mji na umeme wa uhakika. Hati ipo, inaweza kuhamishiwa haraka.</p>
Tsh 175,000,000
Muuzaji
Kilimanjaro Property Group
Arusha Mjini
Tahadhari: Jiepushe na malipo ya mapema kabla ya kuona bidhaa.